SIFA ZA KIJINGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 мар 2025
  • Hivi wanaume hizi sifa za kijinga zinawaisha lini? Unajitoa kwa mwanamke asiekupenda kisa akikudanganya tu unalainika...

Комментарии • 401

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 9 месяцев назад +113

    Tuliopenda joti alivokuwa kapanda kwenye boda tujuane🤣🤣🔥🔥🔥🔥

    • @fatmamdihiri4164
      @fatmamdihiri4164 9 месяцев назад +2

      😂 😂

    • @GatekaNene
      @GatekaNene 9 месяцев назад

      Yani nimeceka hapa nilipo naonekana nikama naelekey kuwa punguwani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @ericluda
      @ericluda 9 месяцев назад +1

      😂😂😂😂

    • @EDOSHINE-uc1ft
      @EDOSHINE-uc1ft 9 месяцев назад

      Tupo pamoja

    • @rodgersmwagu239
      @rodgersmwagu239 9 месяцев назад

      @@ericluda sana babaahh 🤣👊

  • @GatekaNene
    @GatekaNene 9 месяцев назад +16

    Huum Joti ulivyo kaa kwaiyo boda mii hoi na kiceko 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 aki Joti wewe akili zako unazijuwa mwenyew eniweyi mimi nakupenda sana ❤❤❤❤❤

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 9 месяцев назад +5

    Kata nyonga joti ita mvua 😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤mkwala mingi kumbe toi 😘🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @lewimontaz1373
    @lewimontaz1373 9 месяцев назад +10

    Leo nilijua, mm ndio ndakuwa,wa kwanza,ila kuna watu ,wanarauka kweli 😂😂😂😂😂

  • @Charleskulwa-hp5ow
    @Charleskulwa-hp5ow 9 месяцев назад +4

    Hongera sana joti kazinzuri 🔥🔥

  • @markmwaluanda7552
    @markmwaluanda7552 9 месяцев назад +9

    Haha 😄 nishai mtomba..ngile wa kitwango leo umepata chance 🤣 ya kutoa dozi unaitumia nafasi vzr ngojea ifike zam ako haha 😄

  • @IssaHamisi-tf1bf
    @IssaHamisi-tf1bf 9 месяцев назад +2

    ❤😂🎉😢😮😅😊 umetisha mwambaaaas jotii88iiiiii babaaaaaas

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 9 месяцев назад +1

    Thank you Mr Joti!! Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮!!

  • @frankbujiku9496
    @frankbujiku9496 9 месяцев назад +9

    Hii ya muuza madafu nilikuwa nimeisubiria sana kwa hamu hatimae umeigiza 😂😂😂

  • @turiangolo9397
    @turiangolo9397 8 месяцев назад

    Binafsi joti nakubari Sana kazi yako mungu akusimamie

  • @mwambiretv-m2u
    @mwambiretv-m2u 9 месяцев назад +2

    Wa noma sana

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 9 месяцев назад +13

    Wangapi tumemic joti aigize kama mapema🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥

  • @ALNAVSINKINDOLE-tr9qs
    @ALNAVSINKINDOLE-tr9qs 9 месяцев назад +103

    Naombeni Likes Ndugu zangu na mungu atawabariki nimekaa nikisubiri hii video tangu saa kumi pongezi kwangu kwa kuwa ni msubirivu.🎉

    • @kelvinimwandala7284
      @kelvinimwandala7284 9 месяцев назад +4

      Mnafanyia nn hizo like nanyie kha

    • @homeboy2307
      @homeboy2307 9 месяцев назад +2

      Unatatizo gani

    • @cipladapretty8617
      @cipladapretty8617 9 месяцев назад +2

      ​@@homeboy2307😂😂😂😂😂😂 et una tatzo gan

    • @pendogwisu
      @pendogwisu 9 месяцев назад +1

      Eti Mungu atawabariki..

    • @Fahimbisanga
      @Fahimbisanga 9 месяцев назад +1

      We mjinga

  • @latwibujuma
    @latwibujuma 9 месяцев назад +17

    Joti hujawahi kuferi kaka kila siku kitu kipya hongera sana kaka Mungu aendelee kukupa uhai uendelee kutuburudisha😂😂😂

  • @bestBernard01
    @bestBernard01 9 месяцев назад +3

    Sio kwa ubaya Kwa mtazamo wangu I think huyo boss asinge vaa sendo mguuni kwakuwa kawekwa nafasi ya uboss. Next time itabeba uhalisia wa cheo kama boss atavaa kiboss zaidi. 💪🏾kazi nzuri guys. We love it🎉

    • @avocadomatala2883
      @avocadomatala2883 9 месяцев назад +1

      Mabosi Huwa hawavaagi Sana wewe

    • @lvanyDaniel_pw7kk
      @lvanyDaniel_pw7kk 9 месяцев назад

      Matajiri hawana muda na mavazi masikini ndo tuna sifa hao matajiri wamesha tokaga uko tembea uone

    • @JumaMussa-lp1md
      @JumaMussa-lp1md 3 месяца назад +1

      Umeongea ukwel jamaa ang tatizo wabongo wanakitu kinaitwa mazoea unajua ukisha izoea kazi na ukisha jiona umewamiliki wateja unaweza ukaamka tu unaenda ofisini na chupi tu sema nini kama joti anatufatilia sisi watu wake basi hii kitu ataipeleka kwenye Management respect sana man ww ndo unajua kuangalia sio hawa makuma wanakuja kukudispoint af ukiangalia hawaja subscribe chanel yenyew 😂

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 9 месяцев назад

    Joti numbar one comedy❣️🥰

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale 9 месяцев назад +1

    Leo umeshindwa kukimbia... hahahaa halafu? Mbona Zitto ametamani? teh teh teh!

  • @Smile.fox69
    @Smile.fox69 9 месяцев назад +3

    Nishaiii the king of comedy

  • @MhinaKulewa
    @MhinaKulewa 9 месяцев назад +8

    Joti ukaaji gani huo kwenye boda utadhani mbwa anayekojoa😂😂😂

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 9 месяцев назад +6

    Babahhh mlewa sheweleeeee tunakukubare sana🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 9 месяцев назад +1

    Ivi mwanamke unaitwaje unaenda tu bila taarifa maalum na wala hujui unaenda wapi😂😂😂😂😂😂

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 9 месяцев назад +3

    Kazi nzuri

  • @yusuphmdoe5451
    @yusuphmdoe5451 9 месяцев назад

    Mtaa mapenzi hahahaaaa wee jamaa ww hatali sana hahahahahaaaa unakuzimkazi leo hahahahaaaa nahapa ipo

  • @perezkive1493
    @perezkive1493 9 месяцев назад

    💥💥🔥🔥NISHAI ninja.....haunaga kazi mbovu😅😅

  • @HamisMshana-rc4mc
    @HamisMshana-rc4mc 9 месяцев назад +2

    Respect comedian

  • @doriceprosper6588
    @doriceprosper6588 Месяц назад

    🤣🤣eti nitajie upande nichaze kote😂 picha linaanza sarakasi juu ya meza🤣🤣uwiii mbavu zangu😅😅tuliokubali sarakasi aliopiga juu ya meza naomba like hapa

  • @AllyPolly-g4r
    @AllyPolly-g4r 9 месяцев назад +8

    Naomba like zang jmn

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 9 месяцев назад

    Muacheni amfuate😂😂😂😂😂😂😂😂chawa vipi lakini😂😂😂😂

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 9 месяцев назад +4

    Nawapenda sana Joti TV❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @marwa2862
    @marwa2862 7 месяцев назад

    Kumbe delilah wengi, muuzaji kamuuza Joti😂😂

  • @MwanetukijhaMabulu
    @MwanetukijhaMabulu 9 месяцев назад

    You are thé best Mr jotti

  • @gentiljabpretty
    @gentiljabpretty 9 месяцев назад

    UTA ni uwagaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ErickmidoMsodock
    @ErickmidoMsodock 9 месяцев назад +2

    From Japan Kuma I love u YANGA bingwa 24/25 😊😊😊

    • @AliMkumbukwa
      @AliMkumbukwa 9 месяцев назад

      Which opportunity occur Japan bro

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 9 месяцев назад +6

    Nishai Mtombangile Kitwango Mikazo miguno leo umeyatimbaa😊😊😊😊😊😊

  • @BundalaShija-yb4vo
    @BundalaShija-yb4vo 9 месяцев назад +6

    😂😂 mlewa kaunguza nyumba 😂😂😂😂😂😂😂

  • @Taloba_og1
    @Taloba_og1 9 месяцев назад +10

    Leo namm nimewahi nipeni like

  • @ShafiiSoud-b3w
    @ShafiiSoud-b3w 9 месяцев назад +3

    nataman sku moja nione clip ina title ya "The Don" alafu unyama uwe mwingi...
    pale #MlewaGodyMwambaZitoBaunsa na hku mzee Mbembe

  • @giselemauwa4477
    @giselemauwa4477 9 месяцев назад +11

    Wakwanza from Canada ❤❤

    • @Chrm-sindano
      @Chrm-sindano 9 месяцев назад

      Upo kanada sehemu gani nataka tuongee

  • @JamesReuben-gt8up
    @JamesReuben-gt8up 9 месяцев назад

    King of comedy tanzania joti official

  • @harrymakongwa1147
    @harrymakongwa1147 9 месяцев назад

    Joti na style mpya ya kupanda boda ni nomaa😅😅

  • @abangaabanga4677
    @abangaabanga4677 9 месяцев назад +4

    Joti ana mikwala....eti ntakumwaga! 🤣🤣🤣

  • @JacquilineNoah
    @JacquilineNoah 9 месяцев назад +1

    Jotiiiiiiiiii😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mapenz mapenz c ukaeeeeee khaaaa

  • @joshualazaro1641
    @joshualazaro1641 9 месяцев назад +1

    Mlewa fala sana kila siku anamchoma Nishai 😂😂😂😂

  • @muddyaforeal1145
    @muddyaforeal1145 9 месяцев назад

    Nani aliesikia huo mtusi hapo. 😂😂😂😂😂 Halafu director sijui Nan kafanya yake😂😂😂

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 9 месяцев назад +2

    Kumekuchaaaa 😂😂😂😂😂😂 wnazengo mpooo

  • @CarbonProject-yh6ln
    @CarbonProject-yh6ln 9 месяцев назад

    Joti😅😅😅😅you are the best

  • @abubakarykivo7366
    @abubakarykivo7366 9 месяцев назад +1

    Sema joti we akili huna kweli sio comed tu😂😂😂😂

  • @daudiniyonsaba1113
    @daudiniyonsaba1113 9 месяцев назад +6

    Nimeivizia mwamba hapa. Yanga bingwa, dadeki!

  • @Alanshaamusic
    @Alanshaamusic 9 месяцев назад +1

    mission ya nishai haijawahi kuishaa kikamilifu lazima azingue😂😂😂

  • @boazygodfrey9371
    @boazygodfrey9371 8 месяцев назад

    Ila Joti Huna Show Mbovu, Et Mguu Juu Unaenda Kwenye Tukio😂😂

  • @matanobaya619
    @matanobaya619 9 месяцев назад +1

    Mlewa (waiter) umemponza mwenzako broo 😂 . We ungekaba tu mwenzako nishai achukue point😂.ila nyote mumetisha na nawakubali nyote 😅.

  • @CarlicTrevoh
    @CarlicTrevoh 4 месяца назад

    Legend alindwe jmn joti 🔥

  • @AlexSarota
    @AlexSarota 7 месяцев назад

    Anajua sana apewee maua yake🎉

  • @Alpha-6666
    @Alpha-6666 9 месяцев назад +5

    Legend mweyewe joti

  • @deusdeditmajeshi5394
    @deusdeditmajeshi5394 9 месяцев назад +1

    First one 🎉

  • @kayjuma2629
    @kayjuma2629 9 месяцев назад +2

    Ukija bila guard nagawa wastani kwa idadi 😂😂😂

  • @HawaAkida
    @HawaAkida 9 месяцев назад

    Namba1😂😂😂😂 nipen like zanguuuuuu

  • @shabanijuma4887
    @shabanijuma4887 9 месяцев назад +5

    Mlewa umemuuza mwenzako😂😂😂

  • @KingCyrus-iw9yx
    @KingCyrus-iw9yx 9 месяцев назад

    😂😂😂 team Dubai all the way from 🇰🇪

  • @emmanuelmakindi4409
    @emmanuelmakindi4409 9 месяцев назад

    😂😂😂😂😂 joti ana mikwara sana, et lazima itike na haja

  • @kaukwaju
    @kaukwaju 6 месяцев назад

    ❤❤

  • @turiangolo9397
    @turiangolo9397 8 месяцев назад

    Dada umetisha kwa kilio hicho

  • @kilifinewsonlinetvkntv7701
    @kilifinewsonlinetvkntv7701 9 месяцев назад

    Huyo mwamba wa pikipiki ashaanza kujichubua😂😂amekua mweupe kama paipai achaneni namikorogo wanaume mtapakatwa

  • @PrinceAmos-y8t
    @PrinceAmos-y8t 9 месяцев назад

    Movie nzuri sana master joti❤😂🎉😢😮😅😊😊

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 8 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka adi sasa bado na cheka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 joti unatisha sana weye noma 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @besteva499
    @besteva499 9 месяцев назад

    Joti ivi wewe kwel una stress kichwani mwako sio kwakuchekesha❤❤❤

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 9 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂joti forever ❤❤❤❤

  • @Tunusam-tz
    @Tunusam-tz 3 месяца назад

    😅😅😅😅an mwanaume wangu anipambanie Kam joti naweza kuringa sana

  • @ShafiiSoud-b3w
    @ShafiiSoud-b3w 9 месяцев назад

    ita mvua hku unakata nyonga😂😂😂...shabbashhhhh

  • @SamsonTanzania
    @SamsonTanzania 9 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂joti noma sana😂😂😂😂

  • @rajabusaidi6692
    @rajabusaidi6692 9 месяцев назад +1

    Joti mzinguaji sana😂😂😂😂😂

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 6 месяцев назад

    aisee mmechekea kifala 😂😂😂😂

  • @markmwaluanda7552
    @markmwaluanda7552 9 месяцев назад +1

    Hahah 😅 nishai nishai kila clip we ni kupigwa haha 😅 Team mtombangile haha 😄 tutambuane unabastora kwel ww

  • @elesianakabuje5832
    @elesianakabuje5832 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂daaah mbavu zangu

  • @Bakari_motors7
    @Bakari_motors7 9 месяцев назад +1

    Nitakumwaga hajaa😅😅😅

  • @Ebendentalclinic
    @Ebendentalclinic 8 месяцев назад

    mlewa kachoma vibaya huyu😂😂

  • @jilardinbenamurihassan1764
    @jilardinbenamurihassan1764 9 месяцев назад +2

    Kinondoni gani,kinondoni hii? Kinondoni yangu?😂😂😂😂😂

  • @zarafimnyamafitv
    @zarafimnyamafitv 9 месяцев назад +4

    nomaa

  • @davidjoseph1143
    @davidjoseph1143 7 месяцев назад

    Nawaz hiv joti anavyochekesha nikiwaangalia na akina steve n ndaro wenye views kumzidi yni wanamzidi vipi aise

  • @Mr.BrokeGuy
    @Mr.BrokeGuy 9 месяцев назад +2

    Hawakuezi Nishai Mtombangwile mkali wao

  • @bonifacemizambwa2251
    @bonifacemizambwa2251 6 месяцев назад +1

    Dada kapigwa kibao katukana icho kibao kimepigwa kweli

  • @sharoshine9984
    @sharoshine9984 9 месяцев назад +1

    Ilo Kofi la kwanza alilo pigwa dolis nimesikia vibaya au?

  • @JacksonKimario-ig8dl
    @JacksonKimario-ig8dl 9 месяцев назад +1

    Power bank 😂😂

  • @joeldaniel3348
    @joeldaniel3348 9 месяцев назад +21

    Kwan izo like mnafanyiaga ñn

  • @ashasaid6985
    @ashasaid6985 9 месяцев назад +1

    mlewa sitakusamehe kwa hilo ulofabya😂😂😂😂

  • @Cyprolight
    @Cyprolight 7 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @omariamiri5556
    @omariamiri5556 9 месяцев назад +1

    nice Friday

  • @asifiwefungo163
    @asifiwefungo163 7 месяцев назад

    Nishai kaah😂😂😂.ana Mbwembwe

  • @alexjohnson3814
    @alexjohnson3814 9 месяцев назад +1

    Hawa watu wa mikopo bana eti apikesheni yan wao walivo ndo wanahitaji mkopo na wasidaiwe ila sasa

  • @mohamedsheealom8745
    @mohamedsheealom8745 9 месяцев назад +2

    Badala watu kulike hii video kumpa motisha joti mijinga inaomba wao mi wakwanza mi wapili sasa zakusaidia nini hebu like hio video na subscribe ili joti apate haki yake ...

  • @Stinga_Tza
    @Stinga_Tza 9 месяцев назад

    JOTI UNA NN?,,,Ntakumwaga😂😂😂

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 9 месяцев назад +1

    Ila Joti😂😂😂😂aaah

  • @ShafiiSoud-b3w
    @ShafiiSoud-b3w 9 месяцев назад +1

    ila Kanyinyi kapata shida na abiria hyo😂😅😅

  • @divanamines5516
    @divanamines5516 9 месяцев назад +3

    Ninaangalia huku na soma comment, usiulize nafanyia nn? Likee zangu na jotii

  • @ValentineShirima-gj5dr
    @ValentineShirima-gj5dr Месяц назад

    Hahhaa kama binduki 😂😂😂

  • @abdallahrajab866
    @abdallahrajab866 9 месяцев назад +1

    rudia dakika ya 2:10 usikilze kwa makini

  • @AliMkumbukwa
    @AliMkumbukwa 9 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂 iz jot ndo unanfulaishagaaaa

  • @cartoonstorytz4k
    @cartoonstorytz4k 5 месяцев назад

    nishai mwa kitombile miguno aka mikazo

  • @HarounHassan-zv8kd
    @HarounHassan-zv8kd 9 месяцев назад +1

    😂😂😂😂 Teem fisi noma sana sifa zitakuua ndugu yangu J😂😂

  • @angelicaflorian8189
    @angelicaflorian8189 9 месяцев назад

    Wanaume watatu wamekutanishwa 😂😂😂 eti akabidhiwe upandee